TAMISEMI YATANGAZA AJIRA MPYA ZA UALIMU NA AFYA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Ummy Mwalimu ametangaza nafasi za ajira kwa walimu 6,949 wa shule za Msingi na Sekondari pamoja na ajira 2,726 kwa kada mbalimbali za Afya. Watu wenye sifa wanatakiwa kuomba kuanzia leo Mei 9 hadi 23, 2021 Bonyeza link hapo chini kusoma, Sifa,
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed